You need to enable JavaScript to run this app.
Nenda kwenye maudhui
Nenda kwenye orodha kuu
Nenda tovuti zaidi za DW
Vidio zetu
Sauti zetu
Maeneo
Tanzania
Kenya
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo
Afrika
Ulaya
Mada
Haki za binadamu
Mazingira
Afya
Teknolojia
Kategoria
Matukio ya Kisiasa
Masuala ya Jamii
Michezo
Sauti zetu
Vidio zetu
Yanayoangaziwa
Mzozo wa Kongo Mashariki
Mzozo wa Israel na Hamas
Kivuli cha Ukoloni wa Ujerumani
Matangazo
Teknolojia
Ruka sehemu inayofuata Ripoti na Uchambuzi
Ripoti na Uchambuzi
Tanzania: Hatufahamu hitilafu ya Intaneti itakwisha lini
Tanzania: Hatufahamu hitilafu ya Intaneti itakwisha lini
Amina Aboubakar amezungumza na msemaji wa serikali ya Tanzania Mobhare Matinyi kuhusu hitilafu ya huduma ya Intaneti.
Wanaharakati wa mitandao Uganda wasema maisha yako hatarini
Wanaharakati wa mitandao Uganda wasema maisha yako hatarini
Wanaharakati wa mitandao Uganda wasema maisha yako hatarini
Maroboti katika usambazaji wa chakula
Maroboti katika usambazaji wa chakula
Makala ya Sema Uvume wiki hii inaangazia maendeleo mapya katika sekta ya usambazaji wa vyakula ambapo sasa, maroboti yameanza kutoa huduma hiyo. Pia maroboti yanatumika kukusanya taarifa kutoka katika sehemu ya chini kabisa ya bahari. Mwandaaji wiki hii ni Angela Mdungu.
Usiweke simu yako kwenye mchele mkavu
Usiweke simu yako kwenye mchele mkavu
Katika Sema Uvume wiki hii Suleman Mwiru anatizama tahadhari iliyotolewa na kampuni ya Apple juu ya tabia ya kuziweka simu kwenye mchele mkavu pindi zinapodondoka kwenye maji, badala yake fanya yafuatayo.
Makampuni ya kidigitali kuanza kutekeleza sheria mpya za EU
Makampuni ya kidigitali kuanza kutekeleza sheria mpya za EU
Sheria mpya ya Umoja wa Ulaya inapiga marufuku mgongano wa kimaslahi, pamoja na kutaka kuimarishwa ufanisi wa mitandao.
Teknolojia ya ChatBot yajibu maswali ya afya ya uzazi India
Teknolojia ya ChatBot yajibu maswali ya afya ya uzazi India
Wiki hii Sylvia Mwehozi amekuandalia taarifa inayohusiana na programu ya Chatbot inayotumia teknolojia ya akili ya kubuni AI ili kusaidia kujibu maswali ya wanawake juu ya afya ya uzazi na unyanyasaji kingono. Na watafiti katika chuo kikuu kimoja huko huko India, wanaifanyia utafiti teknolojia ya kufungua simu kwa kupumua. Sikiliza Makala hii.
Onesha zaidi
Matangazo
Ruka sehemu inayofuata Masuala maalumu na matukio
Masuala maalumu na matukio
DW Kiswahili inapatikana kupitia mtandao wa Instagram
Jielimishe zaidi